У нас вы можете посмотреть бесплатно RC IDRISA KITWANA ATOA ANGALIZO DHIDI YA KAULI ZA KUTISHIA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Idrisa Kitwana Mustafa, ametoa angalizo kwa wale wanaotoa kauli za kutishia maandamano kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025, huku akiwatoa hofu wananchi kuhusu usalama wao siku ya uchaguzi. Akizungumza wakati akipokea kundi la hamasa “Sisi na RC Kitwana” ofisini kwake Vuga, RC Kitwana amepongeza kundi hilo kwa kazi kubwa ya uzalendo na kuhamasisha amani kabla, wakati na baada ya uchaguzi.