• ClipSaver
  • dtub.ru
ClipSaver
Русские видео
  • Смешные видео
  • Приколы
  • Обзоры
  • Новости
  • Тесты
  • Спорт
  • Любовь
  • Музыка
  • Разное
Сейчас в тренде
  • Фейгин лайф
  • Три кота
  • Самвел адамян
  • А4 ютуб
  • скачать бит
  • гитара с нуля
Иностранные видео
  • Funny Babies
  • Funny Sports
  • Funny Animals
  • Funny Pranks
  • Funny Magic
  • Funny Vines
  • Funny Virals
  • Funny K-Pop

UKWELI WOTE SABABU ZA VIJANA 170 KULUNA KUUAWA CONGO DR скачать в хорошем качестве

UKWELI WOTE SABABU ZA VIJANA 170 KULUNA KUUAWA CONGO DR 1 год назад

скачать видео

скачать mp3

скачать mp4

поделиться

телефон с камерой

телефон с видео

бесплатно

загрузить,

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
UKWELI WOTE SABABU ZA  VIJANA 170 KULUNA KUUAWA  CONGO DR
  • Поделиться ВК
  • Поделиться в ОК
  •  
  •  


Скачать видео с ютуб по ссылке или смотреть без блокировок на сайте: UKWELI WOTE SABABU ZA VIJANA 170 KULUNA KUUAWA CONGO DR в качестве 4k

У нас вы можете посмотреть бесплатно UKWELI WOTE SABABU ZA VIJANA 170 KULUNA KUUAWA CONGO DR или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:

  • Информация по загрузке:

Скачать mp3 с ютуба отдельным файлом. Бесплатный рингтон UKWELI WOTE SABABU ZA VIJANA 170 KULUNA KUUAWA CONGO DR в формате MP3:


Если кнопки скачивания не загрузились НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru



UKWELI WOTE SABABU ZA VIJANA 170 KULUNA KUUAWA CONGO DR

Kinshasa. Serikali nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo inadaiwa kuwaua vijana 170 waliokamatwa kwa madai ya kuwa wanachama wa makundi yanayotekeleza uhalifu wa mjini maarufu kama “Kuluna.” Vyombo vya Habari vya ndani Congo vinawaonyesha vijana hao wakiwa wamefungwa pingu mikononi huku wakibubujikwa machozi wakati wakisikiliza hotuba ya Waziri wa Sheria wa taifa hilo, Constant Mutamba. Shirika la Kimataifa la Kutetea Haki za Binadamu la Amnesty International limeripoti kuwa mamlaka za usalama nchini humo zimewakamata watuhumiwa zaidi ya 1,400 wa uhalifu huku wakitajwa kuwa ni wanachama wa Kundi la Kuluna. Amnesty International pia imesema kuwa kati ya waliokamatwa wengi wao ni vijana wenye umri kati ya miaka 18 hadi 35 ambao wanadaiwa kutenda makosa ya uhalifu ikiwemo uvamizi wa makazi na mauaji ya raia. Shirika la Habari la Associated Press limeripoti kuwa vijana takriban 170 kati yao wameshahukumiwa adhabu ya kifo na tayari taarifa zinadai kuwa vijana hao wameshauawa kwa kupigwa risasi nchini humo. Vijana hao walikamatwa kupitia Opereshezi za usalama zilizofanyika eneo la Ndobo, Lingala kwa lengo la kuwakamata vijana hao kati ya Desemba zikiongozwa waziri, Mutamba zililenga kukomesha magenge ya wahalifu katika Mji wa Ndobo wenye wakazi zaidi ya milioni 15. Shirika la Habari Associated Press limeripoti kuwa vijana hao walihamishwa kwa makundi makundi kutoka katika Gereza lililoko Jijini Kinshasa kwenda katika gereza lililoko mafichoni na lenye ulinzi wa hali ya juu kwa ajili ya kwenda kuuawa. Kwa mujibu wa Waziri wa Sheria nchini Congo, Mutamba, wafungwa 70 kati yao walisafirishwa siku ya Jumapili huku wengine 102 wakipelekwa katika gereza la Angenga lililopo Kaskazini mwa Jimbo la Mongala nchini humo. Mutamba alisema vijana wote wa Kuluna walikutwa na hatia ya kufanya uhalifu wa mijini ‘urban bandits’ na wana umri kati ya miaka 18 hadi 35, japo hakuweka wazi ni lini vijana hao watauawa. Baadhi ya raia wa Congo DR wamepongeza uamuzi huo kwa kile wanachosema itasaidia kupunguza hofu iliyoibuliwa na matukio ya vijana hao huku wengine wakihofia kuwa kutekelezwa kwa adhabu ya kifo dhidi ya vijana hao kuwa ni ukatili na uvunjaji wa haki za binadamu. “Tunakubaliana na uamuzi huu wa waziri wa Sheria kwa sababu unalenga kukomesha uhalifu maeneo ya mjini. Awali ilikuwa ikifika Saa 2:00 usiku tu hauwezi tena kutembea mtaani ukiwa huru kwa sababu ya kuhofia vijana wa kundi la Kuluna,” Mkazi wa Goma Mashariki, Fiston Kakule, aliieleza Associated Press. Espoir Muhinuka, ambaye ni Mwanaharakati wa Haki za Binadamu alionya kuwa kuuawa kwa vijana hao huenda kukakiuka msingi wa utoaji wa haki na kuzitaka mamlaka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuheshimu haki za binadamu. Mwanaharakati huyo alisem anahofia kuwa huenda msukumo wa kisiasa ukasababisha uvunjaji wa haki na kusababisha watu kushtakiwa kisha kuuawa bila kufuata mfumo halali wa utoaji haki nchini humo. “Hali inayoendelea nchini Congo DR inachanganya na inahitaji Jumuiya ya Kimataifa kuingilia kati. Mapambano dhidi ya makundi ya uhalifu ya Mjini yanapaswa kwenda sawia na kuondoa Umaskini, ukosefu wa ajira na utengano wa jamii ambao wote unachangia kuibuka kwa makundi haya,” alisema mwanaharakati huyo. Congo ilifuta hukumu ya kifo mwaka 1981, kisha kuirejesha mwaka 2006. Mauaji ya mwisho kutokana na hukumu hiyo yalitekelezwa mwaka 2003. Machi 2024, Serikali ya Congo, ilitangaza utekelezwaji wa adhabu hiyo kwa watu wlaiotiwa hatiani kwa makosa makubwa ya uhalifu ikiwemo Uhaini. Mwezi Mei 2024, wanajeshi nane wa Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo walitiwa hatiani na kuhukumiwa adhabu ya kifo na Julai 2024, wanajedhi wengine 25 nao walitiwa hatiani kwa kosa la aina hiyo japo wote hawafahamiki waliko hadi sasa na haifahamiki iwapo wameshauawa ama la. Kutokana na kisa cha kuhukumiwa adhabu ya kifo kwa vijana hao, Naibu Mkurugenzi wa Shirika la Amnesty International Mashariki na Kusini mwa Afrika, Sarah Jackson, alisema: “Taarifa ya kuhamishwa kwa wafungwa hao kunashtua sana. Tunahofia kuwa kutasababisha mauaji ya wafungwa kwa wingi yanayotekelezwa na Serikali kutokana na kwamba hakuna uwazi wakati wa utekelezaji wa adhabu na hatujui wangapi wameshauawa na ni kina nani,” “Rais Felix Tshisekedi anatakiwa asitishe mara moja na kutangaza kwa Umma kusitishwa kwa mauaji ya wafungwa katika gereza la Angenga na maeneo mengine. Bunge linapaswa kuja na mswada wa dharura kuzuia mauaji ya vijana hao na kuiondoa kabisa adhabu ya kifo,” aliandika Sara. “Mamlaka pia zinapaswa kuacha tabia ya kuwahamisha wafungwa kuwapeleka katika magereza yenye ulinzi mkali vijijini ikiwemo gereza la Angenga ambako idadi kubwa ya wafungwa wamepelekwa kufariki kwa kuuawa, njaa ama magonjwa,” “Kila mfungwa anayefungwa katika eneo lake anapaswa kufungwa katika gereza ambalo linaweza kufikiwa na mwanasheria, ndugu, na taasisi za Haki za Binadamu kwa urahisi, na wanapaswa kufahamika walipo,” aliandika.

Comments
  • Конго, Острые ощущения от реки | Самые смертельные путешествия 1 год назад
    Конго, Острые ощущения от реки | Самые смертельные путешествия
    Опубликовано: 1 год назад
  • Самые опасные тюрьмы мира 2 года назад
    Самые опасные тюрьмы мира
    Опубликовано: 2 года назад
  • MADEBE LIDAI ASIMULIA MWANZO MWISHO wa TUKIO la MAUAJI ya ATHUMANI NYANZA ALIYEKUTWA AMEFUKIWA... 9 часов назад
    MADEBE LIDAI ASIMULIA MWANZO MWISHO wa TUKIO la MAUAJI ya ATHUMANI NYANZA ALIYEKUTWA AMEFUKIWA...
    Опубликовано: 9 часов назад
  • WATAKA KUPIGANA MAKONDE MBELE YA WAZIRI MKUU BAADA YA KUPEANA TALAKA MAHAKAMANI. 2 дня назад
    WATAKA KUPIGANA MAKONDE MBELE YA WAZIRI MKUU BAADA YA KUPEANA TALAKA MAHAKAMANI.
    Опубликовано: 2 дня назад
  • BBC KISWAHILI HABARI ZA ULIMWENGU LEO JUMATANO JIONI..HALI BADO MBAYA MASHARIKI YA KATI 4 часа назад
    BBC KISWAHILI HABARI ZA ULIMWENGU LEO JUMATANO JIONI..HALI BADO MBAYA MASHARIKI YA KATI
    Опубликовано: 4 часа назад
  • 😲НАКИ: ВСЕ! Германия в ОТКРЫТУЮ ПОПЕРЛА ПРОТИВ США. Трампа ЖЕСТКО ОСАДИЛИ. Иран провернул фатальное 1 день назад
    😲НАКИ: ВСЕ! Германия в ОТКРЫТУЮ ПОПЕРЛА ПРОТИВ США. Трампа ЖЕСТКО ОСАДИЛИ. Иран провернул фатальное
    Опубликовано: 1 день назад
  • Ukweli na Undani kuhusu KULUNA, Vijana wa Magenge ya Kihalifu waliohukumiwa kunyongwa DRC 1 год назад
    Ukweli na Undani kuhusu KULUNA, Vijana wa Magenge ya Kihalifu waliohukumiwa kunyongwa DRC
    Опубликовано: 1 год назад
  • Иран бомбит небоскребы в Дубае, Трамп готовит наземную операцию 21 час назад
    Иран бомбит небоскребы в Дубае, Трамп готовит наземную операцию
    Опубликовано: 21 час назад
  • KRWAWY ODWET TEHERANU! Izrael pod ostrzałem rakietowym. KONIEC LARIJANIEGO! 2 часа назад
    KRWAWY ODWET TEHERANU! Izrael pod ostrzałem rakietowym. KONIEC LARIJANIEGO!
    Опубликовано: 2 часа назад
  • ЧЬЯ АРМИЯ СИЛЬНЕЕ? Иран vs Израиль и США | Ракеты, ПВО и Ядерное Оружие 1 день назад
    ЧЬЯ АРМИЯ СИЛЬНЕЕ? Иран vs Израиль и США | Ракеты, ПВО и Ядерное Оружие
    Опубликовано: 1 день назад
  • ASKOFU MWANAMAPINDUZI AMPIGA MASWALI WAKILI DR.RUGEMELEZA KUFUATWA LISSU-MARIDHIANO & HATIMA YA KESI 5 часов назад
    ASKOFU MWANAMAPINDUZI AMPIGA MASWALI WAKILI DR.RUGEMELEZA KUFUATWA LISSU-MARIDHIANO & HATIMA YA KESI
    Опубликовано: 5 часов назад
  • CHA 2000  Full movie  STARING MKOJANI SAMOFI GALASA KISOSEG MBEMBE 1 год назад
    CHA 2000 Full movie STARING MKOJANI SAMOFI GALASA KISOSEG MBEMBE
    Опубликовано: 1 год назад
  • RDC : Retour sur  le Kuluna qui a coupé la Main sans pitié, Mutamba très Choqué, Peine de mort tombe 1 год назад
    RDC : Retour sur le Kuluna qui a coupé la Main sans pitié, Mutamba très Choqué, Peine de mort tombe
    Опубликовано: 1 год назад
  • TOOS DIL TOOGASHO OO LAGU FULIYAY 21 RUUX OO AL-SHABAAB AH, MUUQAAL LAGA SOO DUUBAY 4 года назад
    TOOS DIL TOOGASHO OO LAGU FULIYAY 21 RUUX OO AL-SHABAAB AH, MUUQAAL LAGA SOO DUUBAY
    Опубликовано: 4 года назад
  • 18.3.26 M23/RDF WAKIPATA KYAMOTO SANGE UVIRA VITA INAENDELEA RUTSHURU WAZALENDO WAPIGA M23/RDF SANA. 23 часа назад
    18.3.26 M23/RDF WAKIPATA KYAMOTO SANGE UVIRA VITA INAENDELEA RUTSHURU WAZALENDO WAPIGA M23/RDF SANA.
    Опубликовано: 23 часа назад
  • 🆘 ВОДІЇ УВАГА ТОТАЛЬНА ПЕРЕВІРКА ВІЙСЬКОВОГО ОБЛІКУ НА ДОРОЗІ 10 часов назад
    🆘 ВОДІЇ УВАГА ТОТАЛЬНА ПЕРЕВІРКА ВІЙСЬКОВОГО ОБЛІКУ НА ДОРОЗІ
    Опубликовано: 10 часов назад
  • Choc à Kinshasa: Plus de 100 Kuluna neutralisés au Camp Luka ! Opération coup de poing de la police 1 год назад
    Choc à Kinshasa: Plus de 100 Kuluna neutralisés au Camp Luka ! Opération coup de poing de la police
    Опубликовано: 1 год назад
  • WIKI BAADA YA KIFO MOVIE  | 15 - 22 | 1 год назад
    WIKI BAADA YA KIFO MOVIE | 15 - 22 |
    Опубликовано: 1 год назад
  • #Mapya CHADEMA NA ACT WAZALENDO WAIBUA MAPYA 8 часов назад
    #Mapya CHADEMA NA ACT WAZALENDO WAIBUA MAPYA
    Опубликовано: 8 часов назад
  • Гениальная самоделка Ирана: Самое ненавистное оружие 21 века, которое переписало правила войны 2 дня назад
    Гениальная самоделка Ирана: Самое ненавистное оружие 21 века, которое переписало правила войны
    Опубликовано: 2 дня назад

Контактный email для правообладателей: u2beadvert@gmail.com © 2017 - 2026

Отказ от ответственности - Disclaimer Правообладателям - DMCA Условия использования сайта - TOS



Карта сайта 1 Карта сайта 2 Карта сайта 3 Карта сайта 4 Карта сайта 5