У нас вы можете посмотреть бесплатно Vijana wavamia mochari Nairobi, wachukua jeneza la rafiki aliyefariki kwa mafuriko или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Kizaazaa kimeshuhudiwa leo katika makafani ya Nairobi baada ya kundi la vijana kufika na kutwaa kwa nguvu mwili wa rafiki yao. Vijana hao waliingia kwa nguvu ndani ya mochari na kuchukua jeneza la marehemu nicholas kyalo, aliyefariki kwa mafuriko ijumaa iliyopita. Hata hivyo, zogo lilizidi pale walipogundua kuwa sanduku halikuwa na mwili. Maiti zaidi za waathiriwa wa mafuriko zimefikishwa katika hifadhi na kufikisha 30 idadi ya waliofariki Nairobi.