У нас вы можете посмотреть бесплатно #🔴WAZIRI MCHENGERWA AELEZA SABABU YA DC MPYA LONGIDO KULETWA/MH.RAIS ANA IMANI NAWE📍 или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi, Mh.Mohamed Mchengerwa,amesemakuletwa kwa Mkuu wa Wilaya mpya Longido, ni kutokana na imani kubwa kwa Mh.Rais kwa uwezo wake wa kutatua,kusikiliza na kuiunganisha Serikali na Chama sambamba na Wananchi. Mh.Mchengerwa amemtaka Mkuu huyo wa Wilaya, kuendeleza kazi ya kuwatumikia wananchi kama alivyofanya vizuri akiwa Kigoma. "umeletwa hapa kuwatumikia Wananchi,na Imani ya Mh.Rais utaifanya kazi hiyo kwa uaminifu na kuwaunganisha watu kama ulivyofanya Kigoma" Amesema Mchengerwa. #live #tbc #zuchu #babalevo #quotes #viralvideo #diamondplatnumz #wasafitv #ikulumawasiliano #breakingnews