У нас вы можете посмотреть бесплатно Upatanisho na Tumaini🌿 | Wakorintho или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Je, umeupokea upatanisho wa Kristo maishani mwako? Katika somo hili tunajifunza kuwa kupitia Yesu Kristo, Mungu amerejesha uhusiano uliovunjika na kutupatia *msamaha, amani, na tumaini la uzima wa milele* (Wakolosai 1). Tumaini letu halitegemei juhudi zetu bali kazi kamili ya Kristo msalabani. 📖 Fungu la kukariri: “Kwa kuwa katika yeye ilimpendeza utimilifu wote ukae; na kwa yeye kuvipatanisha vitu vyote na nafsi yake…” (Wakolosai 1:19–20). Katika kipindi hiki utajifunza: ✔️ Maana ya upatanisho wa kweli ✔️ Jinsi Kristo alivyofungua njia ya amani na Mungu ✔️ Kwa nini tumaini letu liko katika kazi ya Yesu ✔️ Jinsi ya kusimama imara katika imani 💬 Tuambie kwenye maoni: Upatanisho wa Kristo umebadilishaje maisha yako? 👍 Like | 🔁 Share | 🔔 Subscribe kwa mafundisho zaidi yanayojenga imani.