У нас вы можете посмотреть бесплатно Dakika 30 za Mtanzania Hallen aliyetajwa FORBES kuwa Bilionea ajae или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Jina lake ni Hellen Dausen na umri wake ni miaka 29 ( November 1986) ni Mrembo ambaye aliipiga chini ndoto yake aliyokaa nayo miaka kumi bila kumfanikisha lakini akaingia kwenye mbio za Ubilionea na kitu kingine kabisa maishani mwake. Unaambiwa Jarida la FORBES ambalo limekua na nguvu duniani na kutoa ripoti mbalimbali zikiwemo za uchumi na watu na utajiri wao, lilikua na list ya idadi ya vijana takribani elfu mbili lakini Hellen akaibuka miongoni mwa vijana 30 wa Afrika wenye fikra na mikakati ambayo ni utajiri wa siku chache zijazo.