У нас вы можете посмотреть бесплатно Mwanzo mwisho hotuba ya OMO yenye nondo nzito, katika mkutano wa maoni ya hatma ya GNU Zanzibar или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Zanzibar ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman, leo Novemba 26, 2022 amekutana na kuzungumza na Viongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Mkoa wa Kaskazini A kichama , waliofika katika ofisi ya chama hicho zilizopo Shangani Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja, katika Kikao Maalum cha kukusanya Maoni ya Wananchi kuhusiana na Mwenendo wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar.