У нас вы можете посмотреть бесплатно MAKALA: ARDHI MSOMERA KAA LA MOTO KWA WAFUGAJI WALIOHAMISHWA KUTOKA NGORONGORO,TISHIO LA NJAA GUMZO или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
MAKALA: ARDHI MSOMERA KAA LAMOTO KWA WAFUGAJI WALIOHAMISHWA KUTOKA NGORONGORO Karibu uitazame Makala hii maalumu inayoangazia Maisha ya wafuhaji waliohamishiwa eneo la Msomera mkoani Tanga wakitoka katika eneo la Ngorongoro mkoani Arusha sambamba na yale yanayojiri baina yao na wenyeji kuhusu Ardhi. Wafugaji wageni wanalalamikia changamoto kadhaa ikiwemo kupoteza mifugo wao wanaokufa kwa njaa kwa kile wanachodai kuwa ardhi ya eneo la Msomera si rafiki kwa kufuga ikilinganishwa na kule walikotoka. Changamoto nyigine wanayoitaja ni ufinyu wa nyumba wanazopatiwa na serikali ikilinganishwa na ukubwa wa familia zao ambapo wazazi wanalazimika kujibana Pamoja na Watoto wao ambao tarayi wanafamilia zao katika nyumba hizo jmabo wanalodai linakiuka mil ana desturi za kabila la Wamasai. Wakazi na wenyeji wa Msomera nao wanalalamikia maeneo yao kukatwa na kupewa wageni. Hii ni utangulizi tu kwa undani Zaidi fuatilia Makala hii tuliyoiandaa na kukuletea.