У нас вы можете посмотреть бесплатно SALMA RASHID KIKWETE: Uzinduzi wa Kampeni za Ubunge Jimbo la Mchinga 2025 или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Ufunguzi wa kampeni za Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mchinga – Kata ya, Rutamba, Mheshimiwa Salma Rashid Kikwete umefanyika kwa hamasa kubwa, ukiongozwa na Mgeni Rasmi Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa. Tukio hili pia limehudhuriwa na wageni mashuhuri akiwemo Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, pamoja na viongozi mbalimbali wa chama na serikali. Kampeni hizi zinaashiria mwanzo wa safari mpya ya maendeleo kwa wananchi wa Mchinga, zikilenga kusikiliza wananchi na kuleta mageuzi ya kweli katika elimu, afya, miundombinu na uchumi wa jimbo. Jiunge nasi kushuhudia historia ikiandikwa! Channel rasmi ya Mama Salma Rashid Kikwete, Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mchinga (Lindi) kupitia Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025, ikikuletea video zote za kampeni, hotuba, mikutano ya hadhara na matukio muhimu ya kisiasa yanayohusu Mama Salma Kikwete, akiwa na dhamira ya kuwaletea wananchi maendeleo katika elimu, afya, miundombinu na uchumi wa kijamii. #SalmaKikwete #MamaSalmaKikwete #KampeniMchinga #KassimMajaliwa #JakayaKikwete #Uchaguzi2025 #Mchinga #Rutamba #Lindi #KampeniZaUchaguzi #TanzaniaPolitics #Kikwete#Maendeleo #ElimuBora #SalmaRashidKikwete #KampeniSalmaKikwete #Mchinga2025 #Mchinga #lindi #samiasuluhuhassan #tanzania #uchaguzi