У нас вы можете посмотреть бесплатно Ati-ati ya Kainuk: Shambulio la Jumapili laua watu 6 или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Kufuatia shambulio lililosababisha watu 6 kuuawa huko kainuk, katika mpaka wa kaunti za Turkana na West Pokot, Shambulio jingine tena limeripotiwa huko Turkana, wakati ambapo waziri wa usalama Kipchumba Murkomen alikuwa ziarani kutathmini hali. Murkomen amesema kuwa serikali amewatambua wanaoeneza uhasama mpakani na mpango wa kuwapokonya silaha unaimarishwa. Aidha Murkomen amesema kuwa operesheni maalum inayolenga mpaka wa West Pokot na Turkana itafanyika katika wiki chache zijazo ili kurejesha amani.