У нас вы можете посмотреть бесплатно Rais azindua ujenzi wa reli ya kisasa SGR inyotoka mjini Naivasha hadi Kisumu или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Rais William Rutoa amezindua rasmi awamu ya 2B ya ujenzi wa reli ya kisasa ya inayohusisha ujenzi kutoka Naivasha hadi Kisumu. Akizungumza katika hafla hiyo iliyofanyika katika chou cha mafunzo ya Walimu cha Narok, Rais Ruto amesema reli hii ni nguzo muhimu katika kujenga uchumi wa Kenya na mataifa ya Afrika ya Mashariki katika kusafirisha mazao, mifugo ya wafugaji, kukuza maeneo ya viwanda pamoja na kutoa ajira kwa wakenya wakati ujenzi huo ukiendelea. Rais anatarajiwa kuzindua awamu ya 2C inyohusisha ujenzi wa reli kutoka Mjini Kisumu hadi mapkani Busia. Fred Wambua anatuarifu.