У нас вы можете посмотреть бесплатно Mchungaji Amfanyia Mchezo Mchafu Mkewe! Tazama Mchezo Mzima или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Subscribe / uwazi1 AIBU kubwa! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya kuvuja madai kuwa Mchungaji wa Kanisa la Horizon lililopo Bunju jijini Dar, Yohana Mfangavo (41) kukimbiwa na mkewe, Herieti Zimulinda (29), kisa kikidaiwa kuwa ni tendo la ndoa. Chanzo chetu cha habari kimedai kuwa mchungaji huyo alifunga ndoa na Herieti Machi 05, 2016 ambapo mapenzi yalikuwa motomoto lakini baada ya muda mfupi ukaibuka mgogoro mkubwa wa kimapenzi. Akizungumza na Global TV Online, Herieti alidai kuwa mgogoro wao umesababisha waishi kwa uhasama na kusababisha kunyimana tendo la ndoa. “Ni tatizo kubwa maana tumefikia kunyimana tendo la ndoa kwani nilipokuwa namhitaji mume wangu, naambulia kupigwa vipepsi na wakati mwingine tukiwa faragha kuna vitu anataka nimfanyie lakini kwangu sikuona kuwa ni sawa,” alidai mama huyo. Alisema hali hiyo imedumu kwa muda wa miezi mitano baada ya ndoa yao ambapo imesababisha mchungaji huyo amtimue kwenye nyumba waliyokuwa wakiishi na yeye kuamua kuikimbia ndoa. “Ninachosikitika ni kuwa nimeondoka na sijapata chochote wakati kwenye harusi yetu tulitunzwa vitu vingi kama vile masofa, vyombo vya ndani, nyumba iliyoko Mbezi Beach na gari,” alidai mama huyo. Akizungumzia jinsi alivyokutana na mchungaji Yohana, Herieti alidai kuwa alikwenda kanisani kwake kuombewa shida zake mbalimbali na ndipo walipojikuta wanaingia kwenye safari ya kuelekea kwenye ndoa baada ya mtumishi huyo wa Mungu kudai kaoteshwa waoane. “Ukweli niliposikia hivyo kuwa mchungaji kaoteshwa kuwa mimi ndiye nitakuwa mkewe wa kufa na kuzikana, kwanza sikuyaamini masikio yangu lakini aliporudiarudia kauli hiyo nilifurahi sana,” alisema Herieti na kuongeza: “Nabii akaahidi kupeleka posa kwa wazazi wangu, ni kweli haikuchukua muda akamtafuta mshenga, mama mmoja, akaleta posa na ndoa ikafungwa kwenye kanisa lake, lakini baada ya muda mfupi, mgogoro ukawa mkubwa tukafikishana polisi baada ya kunitishia maisha,” alisema. Habari zinadai kuwa kesi hiyo imesharipotiwa katika Kituo cha Polisi Mbweni na kufunguliwa jalada namba WMN/RB/1323/2017 na Kituo cha Polisi Tegeta jijini Dar es Salaam ambapo limefunguliwa jalada namba TGT/ RB/ 1883/ 2016 na mke huyo kuamua kumuacha mumewe. Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chaneli yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1