У нас вы можете посмотреть бесплатно 'Baadhi ya watu waliniambia nimemtoa kafara mwanangu ili nipate pesa' или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Kwa miaka kumi na minane sasa @hildankabe anamlea mtoto wake Lukiza mwenye tatizo la usonji. Anasema tangu alipothibitishiwa na madaktari miaka 14 iliyopita alipokuwa nchini China kikazi, haikuwa rahisi kuikubali hali hiyo lakini alipiga moyo konde na kuikubali baada ya kufanya kutafiti kuhusu Usonji. Hilda Nkabe aNazungumza na@martha_saranga Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili #bbcswahili #bbcswahilileo #kenya #chan #adani #kizzabesigye