У нас вы можете посмотреть бесплатно Sababu za Mwakinyo kutopigana na Twaha Kiduku, Mfaumemfaume или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
SABABU MWAKINYO KUTOPIGANA NA MABONDIA WA NDANI: Bondia wa ngumi za kulipwa Hassan Mwakinyo, amefunguka sababu za yeye kutopigana na mabondia wa ndani ya nchi ikiwemo waandaaji kutofikia kiwango cha malipo anachotaka yeye. Mwakinyo amesema wapo waandaaji ambao hutaka kumlipa milioni 30, kiasi ambacho kwake anaona hakilipi. Bondia huyo atapanda ulingoni Desemba 26, 2025 kwenye usiku wa #BoxingOnBoxingDay jijini Mwanza. Kuelekea pambano hilo, Mwakinyo na waandaji wa tamasha hilo, wametoa wito kwa wadau wa ngumi, kujitokeza kudhamini tamasha hilo ili kutangaza biashara zao. #Vitasa