У нас вы можете посмотреть бесплатно #TBC или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Serikali kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi amebuni na kusanifu mradi wa Msalato utakaokidhi mahitaji ya watu 14,776 na kuwezesha ujenzi wa makazi yenye miundombinu bora kwa jamii na kwa ajili ya biashara za aina mbalimbali ili kupunguza msongamano wa wananchi jijini Dodoma Hayo yamesemwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa wakati akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2024/2025 ambapo amesema sambamba na hilo wizara imepanga kujenga mji wa Afcon City wa Arusha ili kuwa na miji nadhifu na kudhibiti makazi holela.