У нас вы можете посмотреть бесплатно UCHIMBAJI VISIMA VYA UMWAGILIAJI KUBADILI UCHUMI WAKULIMA MATUMBULU или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
NIRC DODOMA MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amezindua uchimbaji wa visima na kuhimiza wananchi kujikita katika kilimo cha umwagiliaji ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, kuongeza uzalishaji wa mazao, na kuondokana na kilimo cha kutegemea mvua ambacho sio cha uhakika. Senyamule aliyasema hayo jijini Dodoma wakati akizindua visima vya umwagiliaji vinavyochimbwa na Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC). Alisema Dodoma ni Mkoa wenye changamoto ya ukame, hivyo kilimo cha umwagiliaji kinaweza kusaidia wakulima kupata mavuno ya uhakika. "Tunaishukuru Tume ya Umwagiliaji kwa kutafsiri vizuri ndoto ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha wananchi wanafanya kilimo cha umwagiliaji cha uhakika kwa kuchimba visima ambavyo vitasaidia kuongeza tija ya uzalishaji wa mazao,"alisema Aliwasisitiza wananchi :" Mkitumia kilimo cha umwagiliaji mtapata mazao mengi hivyo kujikwamua katika wimbi la umaskini. Kwa upande wake Mbunge wa Dodoma Mjini na Waziri wa Madini Anthony Mavunde alimpongeza Rais Dk.Samia kwa dhamira yake ya kumuinua mkulima mdogo anufaike na kazi anayofanya. Alisema Dodoma ni maeneo machache Duniani ambayo wakulima wanaweza kuvuna zabibu mara mbili kwa mwaka mmoja hivyo uchimbaji wa visima vya umwagiliaji utaongeza tija kwa wakulima. "Rais Dk.Samia anaingia katika historia ya nchi hii kwa mara ya kwanza kutuchimbia visima hivi ambavyo vinaenda kubadili maisha ya wakulima kwasababu wanaenda kulima Kwa tija.Lengo la serikali ni kuhakikisha inaweka mifumo ambayo itakayosaidia wakulima kunufaika na kazi yao. Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Umwagiliaji Raymond Mndolwa alisema katika mwaka huu wa fedha Tume inaendelea na utekelezaji wa miradi ya umwagiliaji yenye thamani ya sh.bilioni 145. Alisema uchumbaji wa visima hivyo ni kuunga mkono jitihada za Rais Dk.Samia za kuhakikisha Tanzania inakuwa na chakula cha kutosha na ziada. ------------------------------------------------------------------------------------------------------------------ Tufuatilie kupitia mitadao yetu ya kijamii Instagram: https://www.instagram.com/nirc_tz?igs... Facebook: / tumeyaumwagi. . XTwitter: https://x.com/nirc_tz?t=UoFluCQyTUnM4... LinkeInn: / tume-ya-taifa-ya-umwagiliaji-national-irri... _______________________________________________________________________ #01trending #tanzania #umwagiliaji #kilimo #kilimobiashara #kilimochaumwagiliaji #MAKALA #story #storybook #ikulumawasiliano #DktSamiaSuluhuHassan #Rais #agriculture #agranews #agranewstoday #agricultural #agronomia #agroecologie #agriculturelife #agriculturalmachinery #kilimoufugaji #agrieconomy #kilimo #trendingtanzania #ikuluzanzibar #ikulutanzania #ikulu #ccm #ccmtz #chamachamapinduzi #agrfilms #agrf2023 #cnbctv #cnbcnews #kbcchannel1