У нас вы можете посмотреть бесплатно UJUE UWEZO WA SILAHA ZA KIVITA WA IRAN WANAOMTAMBIA MAREKANI или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
UJUE UWEZO WA SILAHA ZA KIVITA WA IRAN WANAOMTAMBIA MAREKANI Iran ni Jamhuri ya Kiislam yenye kuongozwa kwa kufuata misingi na sharia za kiislamu chini ya kiongozi wa Kidini Ayatollah Sayyid Ali Khamenei ambaye ndio kiongozi mkuu mwenye Nguvu nchini humo na mashariki ya Kati aliyechukua madaraka mnamo tarehe 4 Juni, 1989 mara tu baada ya kufariki kwa kiongozi na muasisi wa mapinduzi matukufu ya Kiislam ya mwaka 1979 Sayyid Ruhollah Musavi Khomeini aliyefariki tarehe 3 June, 1989. Ayatollah Sayyid Ali Khamenei ndiye kiongozi mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu ( commander-in-chief ). Ujue uwezo wao wa kivita dhidi ya Marekani inayoongozwa na rais machachari DONALD TRUMP... GLOBAL TV ONLINE (+255 784 888982, +255 676 229628) HABARI MPYA DAILY:https://www.youtube.com/playlist?list... HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:https://www.youtube.com/playlist?list... GLOBAL RADIO TV:https://www.youtube.com/playlist?list... EXCLUSIVE INTERVIEW:https://www.youtube.com/playlist?li