У нас вы можете посмотреть бесплатно AFYA YA JAMII - UVIMBE KATIKA MFUMO WA UZAZI- MYOMA AU FIBROAD или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Daktari VINCENT TARIMO, bingwa wa magojwa ya akina mama na uzazi, kutoka hospitali ya taifa ya muhimbili Dar es salaam, akiongelea uvimbe katika mfuko wa kizazi kwa akina mama, unajlikana kama uterine myoma au fibroid. uvimbe huu hutokea kwenye misuli laini ya mfuko wa uzazi. tatizo hili huwakumba akina mama kwa asilimia 5 wenye umri kati ya miaka 20 hadi 30, asilimia karibu 20 kwa wenye umri kati ya miaka 30 hadi 40, na zaidi ya asilimia 40 kwa wenye umri zaidi ya miaka 40.