У нас вы можете посмотреть бесплатно Athari za mafuriko pwani ya Kenya или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mkubwa kubwa inayoendelea kunyesha katika sehemu mbalimbali nchini Kenya imesababisha maafa ya watu 120 na uharibifu wa miundombinu ikiwemo makaazi ya watu. Mkoa wa pwani ni moja kati ya sehemu zilizoathirika zaidi na mvua hizo huku miito ikitolewa kwa wakaazi hasa wa Mombasa kuchukua tahadhari. Fathiya Omar ametembelea baadhi ya waathirika wa mafuriko ambao wametoa wito wa misaada ya kibinadamu na kuihimiza serikali kuboresha miundombinu. #Kurunzi 30.11.2023