У нас вы можете посмотреть бесплатно Dakika 26 za Waziri Mkuu Majaliwa akijibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa wabunge или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali itafanya mapitio ya sheria na kanuni zinazohusiana adhabu dhidi ya makosa ya unyanyasaji wa kijinsia, lengo likiwa ni kukomesha vitendo hivyo nchini. Majaliwa ameyasema hayo leo Aprili 18, 2024 wakati akijibu swali la papo kwa papo la Mbunge wa Viti Maalum, Tunza Malapo. Tunza amesema matukio ya unyanyasaji wa kijinsia kwa watoto, wanawake na makundi mengine yamekithiri.