У нас вы можете посмотреть бесплатно TATIZO LA MCHWA NA UDUMAVU WA MITI LAPATIWA UFUMBUZI или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wananchi mkoani Rukwa wathibitisha kupatiwa njia za asili za kupambana na mchwa na kudumaa kwa miti na Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Maliasili, unatekelezwa na LEAT kwa kushirikiana na RUSUDEO chini ya ufadhili wa USAID. Imethibitika kuwa miti mingi iliyopandwa pasipo kuzingatia namna ya uchimbaji wa mashimo, matumizi ya majivu na katani, na mbolea ya samadi imedumaa ukilinganisha na miti ya mwaka mmoja iliyopandwa kwa kuzingatia elimu ya upandaji waliyopewa. Mradi huu umekuwa ukishirikiana na taasisi ya vijana FECEE katika uzalishaji wa miche ya miti na utoaji wa elimu ya upandaji miti kwa jamii katika vijiji 18 vya mradi huu.