У нас вы можете посмотреть бесплатно JESCA, MKE wa SABAYA ASIMAMISHA MAHAKAMA Dk 20 AKIMTETEA SABAYA, AFICHUA KUWA WALIFUNGA NDOA... или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
JESCA, MKE wa SABAYA ASIMAMA MAHAKAMANI Dk 20 KUMTETEA SABAYA, AFICHUA KUWA WALIFUNGA NDOA... Shahidi wa pili upande wa utetezi wa kesi ya Lengai Ole Sabaya na wenzake, Jesca Nassari, ambaye amejitambulisha mahakamani hapo kuwa ni mke wa Sabaya, akiongozwa na wakili Moses Mahuna, amedai mnamo Mei 27, alikuwa hotelini Dar es Salaam mumewe Lengai Ole Sabaya. Jesca amesema wakati wapo hotelini majira ya saa kumi alfajiri walikwenda watu usiku na kujitambulisha kama maaskari na kuwakamata kwa kuwapeleka ofisi za Takukuru Dar. Jesca amesema watu hao walikuwa na silaha hivyo anawatambua muonekano wao. Jesca ametoa ushahidi wake kumtetea mshtakiwa namba moja katika kesi ya uhujumu uchumi 27/2021, ambaye ni Lengai Ole Sabaya. Ameiambia mahakama kuwa namba ya simu yenye jina la, Lengai ole Sabaya, ilisajiliwa na mume wake kwa ajili ya matumizi ya biashara na amekuwa akiitumia mara nyingi yeye. Shahidi Jesca amesema huwa ana destruri ya kwenda Arusha siku za Ijumaa kwa kuwa ni mjasiriamali, ambapo siku hiyo alipigiwa simu na mteja kwa ajili ya kumuuzia maharage ambapo anadai alitumia usafiri wa gari yake 'VX Masai T 341 ANT' na namba ya simu aliyekuwa akiwasiliana na mteja ilikuwa na 0758707171... Hakumbuki thamani ya biashara yake ya mahindi na maharage lakini anakumbuka alianza na mtaji wa Millioni tatu mwaka 2018, pia amesema biashara yake haikuitaji kutoa risiti kwa kuwa yeye alikuwa mfanyabiashara mdogo. kuhusu idadi ya mifugo aliyonayo amesema haijui idadi hiyo na kusema mara ya mwisho alihesabu kuku walikuwa 600 japo hakutaja mahakamani ilikuwa siku gani. Kuhusu idadi ya Ng'ombe wa mumewe Sabaya, Jesca, amesema hafahamu na wala alipokuwa akiuza hakuwa anamuarifu lakini ana kumbuka 2020 Sabaya alimwambia aliuza Ng'ombe za million 20. ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982) ⚫️ Email: [email protected] OR [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline