У нас вы можете посмотреть бесплатно MAZINGIRA TUKIHARIBU, TUNAHARIBU MAISHA YETU | Askofu Wilbroad Henry Kibozi или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dodoma Mhashamu Wilbroad Henry Kibozi ametoa maagizo kwa wanafunzi wa seminari ndogo ya Mtakatifu Augustino,BIHAWANA iliyopo Jimbo Kuu Katoliki la Dodoma kuendelea kuwa na desturi utunzaji wa Mazingira katika Maneno yao kuitikia Barua ya Baba Mtakatifu wa "LAUDATO SI" na watambue mwanadamu anauhitaji wa Mambo mbalimbali ikiwemo hali ya hewa inahitajika Sana na chanzo chake ni Miti. Zoezi hilo la upandaji wa Miti lililofanyika katika seminari hiyo lililoongozwa na Mhashamu Wilbroad Kibozi,baada ya uzinduzi wa Kampeni ya Tumaini Media katika Jimbo Kuu Katoliki Dodoma. Mhashamu Askofu Kibozi amewapongeza wanafunzi hao kupitia Risala yao kuwa kupokea zoezi hilo la upandaji wa miti na kushiriki kwa vitendo katika kampeni hiyo. Kampeni ya utunzaji wa Mazingira inayoendeshwa na Tumaini media imelenga kuwafikia Majimbo Makuu yote hapa Nchini, Padre Joseph Massenge ni Mkurugenzi wa Tumaini media katika Zoezi hilo ametoa Rai kwa Wanafunzi hao kutunza Miti kwa manufaa yao na Jamii kwa ujumla. Kufanyika kwa zoezi hilo la upandaji wa Miti katika Seminari hiyo limefanyika siku Moja mara baada ya uzinduzi wa Kampeni ya upandaji wa Miti ya Tumaini Media katika Jimbo kuu katoliki la Dodoma na Miti 300 imepandwa. Picha hizi zinatengenezwa na TUMAINI MEDIA. Matumizi yoyote ya picha hizi ni marufuku bila idhini kutoka TUMAINI MEDIA Hakimiliki © Tumaini Television - Haki zote zimehifadhiwa.Tafadhali Endelea Ku- Subscribe akaunti hii na bonyeza alama ya Kengele ili kupata taarifa zetu kwa wakati sahihi.