У нас вы можете посмотреть бесплатно Kanuni za Utoaji - Sehemu ya 3 || Mawimbi ya Uamsho na Matengenezo или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
KANUNI ZA UTOAJI – Sehemu ya 3 1. Somo hili linatufundisha msukumo sahihi wa utowaji: Kila kitu tulichonacho kimetoka kwa Mungu Tunabarikiwa ili tuwe baraka na Mungu atukuzwe Utowaji unasaidia moyo wetu kuwa sawa na Mungu na kuwekeza mbinguni Tunatoa ili mali zisituwale na kuonyesha upendo wa Mungu ndani yetu Sadaka ni dhabihu zinazompendeza Mungu 2. Pia tunatahadharishwa dhidi ya nia mbaya: Kiburi na kutaka kuonekana Ubinafsi na kutafsiri vibaya Luka 6:38 Presha za wahamasishaji Kutoa ili kupata cheo au upendeleo Tazama hadi mwisho ili kujenga maisha ya utowaji unaompendeza Mungu na kugusa maisha ya watu wengine. 📌Usisahau Kusubscribe, Kupenda (Like), na Kushare ili wengine wabarikiwe pia!