• ClipSaver
  • dtub.ru
ClipSaver
Русские видео
  • Смешные видео
  • Приколы
  • Обзоры
  • Новости
  • Тесты
  • Спорт
  • Любовь
  • Музыка
  • Разное
Сейчас в тренде
  • Фейгин лайф
  • Три кота
  • Самвел адамян
  • А4 ютуб
  • скачать бит
  • гитара с нуля
Иностранные видео
  • Funny Babies
  • Funny Sports
  • Funny Animals
  • Funny Pranks
  • Funny Magic
  • Funny Vines
  • Funny Virals
  • Funny K-Pop

Muhtasari wa matukio kwenye ziara ya Makamo wa Kwanza wa Rais majumbani Kaskazini Unguja скачать в хорошем качестве

Muhtasari wa matukio kwenye ziara ya Makamo wa Kwanza wa Rais majumbani Kaskazini Unguja 3 года назад

скачать видео

скачать mp3

скачать mp4

поделиться

телефон с камерой

телефон с видео

бесплатно

загрузить,

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
Muhtasari wa matukio kwenye ziara ya Makamo wa Kwanza wa Rais majumbani Kaskazini Unguja
  • Поделиться ВК
  • Поделиться в ОК
  •  
  •  


Скачать видео с ютуб по ссылке или смотреть без блокировок на сайте: Muhtasari wa matukio kwenye ziara ya Makamo wa Kwanza wa Rais majumbani Kaskazini Unguja в качестве 4k

У нас вы можете посмотреть бесплатно Muhtasari wa matukio kwenye ziara ya Makamo wa Kwanza wa Rais majumbani Kaskazini Unguja или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:

  • Информация по загрузке:

Скачать mp3 с ютуба отдельным файлом. Бесплатный рингтон Muhtasari wa matukio kwenye ziara ya Makamo wa Kwanza wa Rais majumbani Kaskazini Unguja в формате MP3:


Если кнопки скачивания не загрузились НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru



Muhtasari wa matukio kwenye ziara ya Makamo wa Kwanza wa Rais majumbani Kaskazini Unguja

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Othman Masoud Othman, amesema kuna changamoto nyingi kwa familia duni, zinazohitaji mashirikiano kati ya viongozi na jamii, ili kuweza kuzikabili, hasa katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Mheshimiwa Othman ameyasema hayo leo katika Ziara yake maalum ya kuwafariji na kuwapa pole wagonjwa, watu wasiojiweza na familia za wafiwa mbali mbali, ndani ya Mkoa wa Kaskazini Unguja. Amesema kuwa zipo changamoto ambazo siyo shida kuzitatua, bali baadhi yao zinahitaji mashirikiano ya pamoja kukabiliana nazo, kutokana na jinsi zinavyozorotesha na kudhoofisha ustawi wa watu, familia na jamii kwa ujumla, hali ambayo inagusa hisia za kila mwenye huruma. Mheshimiwa Othman ametolea mifano hali za unyonge, ufukara wa kupindukia, kuondokewa, maradhi, udhaifu na ukosefu wa kudumu wa kipato na mahitaji ya lazima, kuwa kwa sasa ni miongoni mwa changamoto zinazodhoofisha ustawi wa familia nyingi, katika visiwa vya Unguja na Pemba. Mheshimiwa Othman ametoa wito kwa jamii kuutumia vyema Mwezi Mtukufu wa Ramadhan na kuhakikisha kunakuwepo mashirikiano ya kuwasaidia wale wasiojiweza wakiwemo wazee, wagonjwa, wajane, watoto yatima na watu wenye ulemavu, ili kutoa unafuu wa kupata huduma za msingi na ah-weni ya kimaisha. Wakiongelea juu ya wajibu wa kuwafikia na kuwasaidia watu wenye mahitaji na wasiojiweza, hasa katika Msimu huu wa Funga, Bw. Mohamed Nyasa Juma wa Donge-Njia ya Mtoni, na Bi Tatu Haji wa Bumbwini-Uwandani, pamoja na kushukuru juhudi za viongozi katika kufanikisha utoaji wa huduma na misaada kwa wananchi, wamesema wahitaji ni wengi, na wapo miongoni mwa watu hali zao ni dhaifu mno na za kukatisha tamaa, na hivyo kunahitajika kasi zaidi ya kuwakirimu. Katika ziara hiyo, Mheshimiwa Othman ametembelea pia Vijiji vya Kitope-Mkaratini, Kikobweni, Chutama, Muwange, Tazari, Mkokotoni, Mwanakombo na Langoni ambavyo ni katika Majimbo ya Mahonda, Nungwi, Chaani, Mkwajuni, Kijini, Tumbatu, Donge na Bumbwini, ndani ya Mkoa wa Kaskazini Unguja. Viongozi mbali mbali wa Serikali, Jamii, Vyama vya Siasa, na Vikosi vya Ulinzi na Usalama wamejumuika katika ziara hiyo wakiwemo Kaimu Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo Zanzibar, Bw. Salim Bimani na Naibu Katibu wa Haki za Binadamu wa Chama hicho, Bi Pavu Juma Abdalla.

Comments
  • #ZRA: Wananchi Kaskazini Unguja Waipa Heko Kambi ya ZRA Mtaani Kwako 2 недели назад
    #ZRA: Wananchi Kaskazini Unguja Waipa Heko Kambi ya ZRA Mtaani Kwako
    Опубликовано: 2 недели назад
  • CCM YAFUNGA KAMPENI UCHAGUZI MDOGO ZANZIBAR.DR HEMED MGENI RASMI
    CCM YAFUNGA KAMPENI UCHAGUZI MDOGO ZANZIBAR.DR HEMED MGENI RASMI
    Опубликовано:
  • Kijiji ambacho wanaume wote wamepigwa marufuku! 1 день назад
    Kijiji ambacho wanaume wote wamepigwa marufuku!
    Опубликовано: 1 день назад
  • КРЕМЛЬ В УЖАСЕ?! Зеленскии назвал табу. ЗАПОРОЖСКУЮ АЭС НЕ ОТДАДУТ 4 часа назад
    КРЕМЛЬ В УЖАСЕ?! Зеленскии назвал табу. ЗАПОРОЖСКУЮ АЭС НЕ ОТДАДУТ
    Опубликовано: 4 часа назад
  • В США все резко ИЗМЕНИЛОСЬ! Встречу с Зеленским ПЕРЕНЕСЛИ: вот что Трамп задумал по Украине 3 часа назад
    В США все резко ИЗМЕНИЛОСЬ! Встречу с Зеленским ПЕРЕНЕСЛИ: вот что Трамп задумал по Украине
    Опубликовано: 3 часа назад
  • Makamu wa Kwanza ziarani Kusini Unguja leo 4 года назад
    Makamu wa Kwanza ziarani Kusini Unguja leo
    Опубликовано: 4 года назад
  • Makamu wa Kwanza wa Rais atembelea wagonjwa Kaskazini Pemba 4 года назад
    Makamu wa Kwanza wa Rais atembelea wagonjwa Kaskazini Pemba
    Опубликовано: 4 года назад
  • CAPTAIN WA BOTI AFUNGUKA USAFIRI WA ZANZIBAR MIAKA 61 YA UHURU 11 месяцев назад
    CAPTAIN WA BOTI AFUNGUKA USAFIRI WA ZANZIBAR MIAKA 61 YA UHURU
    Опубликовано: 11 месяцев назад
  • Zanzibar, eneo na mipaka yake kwa mtazamo wa kisheria na kihistoria-URITHI WETU (Episode 1): 4 года назад
    Zanzibar, eneo na mipaka yake kwa mtazamo wa kisheria na kihistoria-URITHI WETU (Episode 1):
    Опубликовано: 4 года назад
  • Kaskazini Pemba wamuonyesha mapenzi Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar 4 года назад
    Kaskazini Pemba wamuonyesha mapenzi Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar
    Опубликовано: 4 года назад
  • Rahby  || Uchambuzi wa habari 3 часа назад
    Rahby || Uchambuzi wa habari
    Опубликовано: 3 часа назад
  • NGOME KONGWE YAFUKULIWA MAKABURI YAKIWA NA MAITI NDANI ZANZIBAR 3 года назад
    NGOME KONGWE YAFUKULIWA MAKABURI YAKIWA NA MAITI NDANI ZANZIBAR
    Опубликовано: 3 года назад
  • MAKAMU WA KWANZA WA RAIS AANIKA YASIYOJULIKANA KUHUSU ZANZIBAR | DEC 23/2024 1 год назад
    MAKAMU WA KWANZA WA RAIS AANIKA YASIYOJULIKANA KUHUSU ZANZIBAR | DEC 23/2024
    Опубликовано: 1 год назад
  • Wananchi wa Kaskazini Unguja wamchana Mkuu wa Mkoa wao, wasema anawanyanyasa 3 года назад
    Wananchi wa Kaskazini Unguja wamchana Mkuu wa Mkoa wao, wasema anawanyanyasa
    Опубликовано: 3 года назад
  • ⚡ Атака на Киев: повреждено более 10 домов! Как восстанавливают инфраструктуру? 19 часов назад
    ⚡ Атака на Киев: повреждено более 10 домов! Как восстанавливают инфраструктуру?
    Опубликовано: 19 часов назад
  • MWEKEZAJI AUZIWA MAKABURI ZANZIBAR 3 года назад
    MWEKEZAJI AUZIWA MAKABURI ZANZIBAR
    Опубликовано: 3 года назад
  • Rais Mwinyi leo amtumbua Mkurugenzi wa ZRB 3 года назад
    Rais Mwinyi leo amtumbua Mkurugenzi wa ZRB
    Опубликовано: 3 года назад
  • Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman, amewasili Mkoani Ruvuma 1 год назад
    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman, amewasili Mkoani Ruvuma
    Опубликовано: 1 год назад
  • MAADILI ZANZIBAR KWISHAAA , UKAHABA WAPAMBA MOTO 3 года назад
    MAADILI ZANZIBAR KWISHAAA , UKAHABA WAPAMBA MOTO
    Опубликовано: 3 года назад
  • 💥 Атака НОЧЬЮ и ДНЕМ! Двойной удар РФ по Киеву | Оперативные новости. День 1 день назад
    💥 Атака НОЧЬЮ и ДНЕМ! Двойной удар РФ по Киеву | Оперативные новости. День
    Опубликовано: 1 день назад

Контактный email для правообладателей: [email protected] © 2017 - 2025

Отказ от ответственности - Disclaimer Правообладателям - DMCA Условия использования сайта - TOS



Карта сайта 1 Карта сайта 2 Карта сайта 3 Карта сайта 4 Карта сайта 5