У нас вы можете посмотреть бесплатно Sheria Yako Bwana | Wimbo wa Katikati | Dominika 17 A или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wimbo wa katikati Dominika ya 17 mwaka A Jumapili ya tarehe 26/7/2020 Zaburi: 119 Mtunzi: E. Ndumbaro Waimbaji ni baadhi ya wanakwaya wa St Paul's Students Choir, Chuo Kikuu cha Nairobi Karibu kutazama wimbo wa katikati kila wiki pamoja na nyimbo nyingine za kwaya katoliki Kenya na Tanzania katika channel hii Please like, share and subscribe lest you miss out our next uploads. MANENO YA WIMBO Sheria yako Bwana, naipenda, naipenda ajabu sharia yako. Mashairi 1. Bwana ndiye aliye fungu langu, nimesema kwamba nitayatii nitayatii maneno yako 2. Sheria ya kinywa ya kinywa chako, ni njema kwangu kuliko maelfu maelfu ya dhahabu na fedha 3. Nakuomba fadhili zako zote, ziwe faraja kwangu sawasawa na ahadi ya mtumishi wako