У нас вы можете посмотреть бесплатно WAZIRI LUKUVI HATAKI MCHEZO, AFUTA HATI MBILI ZA VIGOGO или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amefuta hati mbili za viwanja namba 153 na 154 Mkoani Mwanza vilivyokua vikimilikiwa na Abdulkareem Baga na Abdallah Mukhusin Malik ikielezwa kwamba havijalipiwa kodi ya ardhi kwa miaka 15 tangu wapatiwe umiliki. "Kila Mtu tunaemmilikisha hati Nchi hii sharti la kwanza la kuzingatia ni ulipaji wa kodi ya pango la ardhi kwa wakati, Huyu Malik ukiacha kwamba haonekani kwa sura hatumfahamu, hajalipa kodi kwa miaka 15 na bado hati ipo kwenye Masjala ya hati za Wizara ya Ardhi”