У нас вы можете посмотреть бесплатно T.A.G BEROYA CHRISTIAN CENTER YAADHIMISHA MIAKA 85 YA HUDUMA NCHINI TANZANIA NA 45 MJINI KOROGWE или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
KOROGWE Waumini wa kanisa la TAG Beroya Christian Center lililopo mjini Korogwe, Aprili 28,2024 wamejumuika Pamoja katika kuadhimisha miaka 85 ya uwepo wa kanisa la TAG nchini Tanzania, na miaka 45 kwa hapa mjini Korogwe, ambapo hafla hiyo imetanguliwa na shughuli mbalimba zikiwemo za matendo ya huruma. Akizungumza na kituo hiki, mchungaji kiongozi wa TAG BEROYA CHRISTIAN Center Martin Philip Nchaila ameelezea sababu ya uwepo wa maadhimisho hayo.