У нас вы можете посмотреть бесплатно Mtahiniwa wa KCSE afariki katika njia tatanishi Homa Bay или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Familia moja kutoka Bonchari kaunti ya Kisii inalilia haki ya mwana wao aliyefariki akifanya mtihani wa kidato cha nne katika shule ya upili ya wasichana ya Ogande kule Homa Bay. Kwa mujibu wa wazazi wa BERYL Nyaboke, mwana wao hakuwa na dalili zozote za ugonjwa tangu kujiunga na shule hiyo. Na kama anavyoripoti mwanahabari wetu Chrispine Otieno uongozi wa shule hiyo ya Ogande umekataa kuzungumzia swala hilo kwa sasa.