У нас вы можете посмотреть бесплатно Utukuzwe Muumba na Bwana! или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Our little contribution to "Symfonia Miłosierdzia". This song was composed by Bartek Gliniak for the Symphony of Mercy, based on text from Sister Faustina 'Diary'. Sung by combined choirs of The National Shrine of Divine Mercy in Kiabakari, Tanzania. The lead singer - George Kabelwa. Proud to be part of this unique initiative - The Symphony of Mercy (www.symphonyofmercy.com). And grateful to all my people involved in "Utukuzwe" song audio and video recording and production. Thank you! LYRICS Utukuzwe, ee Mungu wetu mwenye rehema! Utukuzwe, Muumba na Bwana, Muumba na Bwana wetu Mwenyezi Utukuzwe, Muumba na Bwana, Muumba na Bwana wetu Mwenyezi Utukuzwe, Muumba na Bwana, ee Mungu wetu mwenye rehema, Utukuzwe, Muumba na Bwana, na Bwana, na Bwana, na Bwana, na Bwana 1) Mwanadamu hakudumu saa ya jaribio, Kwa ajili ya ushawishi wa shetani hakukutii Wewe, Kapoteza neema na tunu, kabaki na ufukara pekee, Machozi, mateso, maumivu, uchungu - mpaka atakapolala kaburini. Utukuzwe, Muumba na Bwana, Muumba na Bwana wetu Mwenyezi Utukuzwe, Muumba na Bwana, Muumba na Bwana wetu Mwenyezi Utukuzwe, Muumba na Bwana, ee Mungu wetu mwenye rehema, Utukuzwe, Muumba na Bwana, na Bwana, na Bwana, na Bwana, na Bwana 2) Lakini Wewe, Mungu mwenye Huruma, hukuruhusu wanadamu waangamie, Ukawapa ahadi ya Mkombozi, Hukuruhusu wakate tamaa, ingawa maovu yetu ni makuu, Na kuwatuma Manabii wako kwa Israeli. Utukuzwe, Muumba na Bwana, Muumba na Bwana wetu Mwenyezi Utukuzwe, Muumba na Bwana, Muumba na Bwana wetu Mwenyezi Utukuzwe, Muumba na Bwana, ee Mungu wetu mwenye rehema, Utukuzwe, Muumba na Bwana, na Bwana, na Bwana, na Bwana, na Bwana 3) Lakini matamanio ya wanadamu wote huzidi Ya Yule aliyeahidiwa kwao: Uje, Mwana-kondoo wa Mungu, na uangamize dhambi zetu, Uje, uangaze giza letu, kama mwale wa nuru. Utukuzwe, Muumba na Bwana, Muumba na Bwana wetu Mwenyezi Utukuzwe, Muumba na Bwana, Muumba na Bwana wetu Mwenyezi Utukuzwe, Muumba na Bwana, ee Mungu wetu mwenye rehema, Utukuzwe, Muumba na Bwana, na Bwana, na Bwana, na Bwana, na Bwana Utukuzwe, Muumba na Bwana!