У нас вы можете посмотреть бесплатно MTEGO wa POLISI WAMNASA SUNAMI na WENZAKE WANNE - WAKAMATWA WAKIJARIBU KUUZA PEMBE za FARU...... или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
MTEGO wa POLISI WAMNASA SUNAMI na WENZAKE WANNE - WAKAMATWA WAKIJARIBU KUUZA PEMBE za FARU...... Jeshi la polisi mkoa wa kagera linawashikilia watuhumiwa watano ambao ni Fidelis Ikanga (35) mkulima mkazi wa kagenyi wilaya ya Kyerwa, Gibururi Dauda (58) mkulima mkazi wa wilaya ya Missenyi, Jeofrey Malingumu (35) mkulima mkazi wa Missenyi, Suleiman Semukuye raia wa Uganda(57) na Idephone Korongo(58) mkulima mkazi wa wilaya ya Kyerwa kwa tuhuma za kupatikana na pembe mbili za mnyama aina ya Faru ambazo ni nyara za serikali. ============================================================ ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx