У нас вы можете посмотреть бесплатно KUTII MAAGIZO NA SHERIA ZA MUNGU NI DAWA IPONYAYO , Part1 na mtumishi wa Mungu Ev. Joseph MLITAS или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Isaya 45 ; 21-22 Tangu uumbaji Mungu anaiongoza dunia kwa sheria na maagizo yake, mwanadamu aliasi , hasira ya Mungu ikawaka juu ya uso wa dunia. Mara nyingi unapoona jambo katika maisha yako mpendwa, ni lazima kujitafakari na kuangalia wapi umevunja maagizo na sheria ya Mungu na kumrudia kwa njia ya toba. kwa wakati huu dunia inapitia kwenye mtikisiko mkubwa kwa jailli ya ugonjwa wa covod19, tunapaswa kuomba rehema kwa ajilli ya dunia, Damu ya Yesu inenayo mema ikatunenee mema nakutuepusha na hasira ya Mungu usikose ku subscribe channel hii na ku share na winginge ili wote tuendelee kubarikiwa