У нас вы можете посмотреть бесплатно Inspekta mkuu na mkurugenzi wa DCI wakosa kufika kortini или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Inspekta Mkuu wa Polisi Douglas Kanja na Mkurugenzi wa Idara ya Upelelezi DCI, Mohammed Amin wametakiwa kufika mahakamani tarehe 23 Mwezi huu baada ya kukosa kuhudhuria kikao maalum cha kusikizwa kwa kesi ya visa vya utekaji nyara leo. Wakati huo huo, jaji Chacha Mwita atatoa uamuzi tarehe 23 Mwezi huu iwapo amri ya kuwataka wawili hao kufika mahakamani itasalia baada ya wawili hao kuwasilisha hoja ya kupinga amri hiyo kupitia wakili Paul Nyamodi.