У нас вы можете посмотреть бесплатно Mzee Francis Ong’udi atia bidii kupanda miche kuzuia mafuriko или скачать в максимальном доступном качестве, которое было загружено на ютуб. Для скачивания выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Huku dunia ikiendelea kukabiliana na maafa yanayotokana na mabadiliko ya tabianchi, upanzi wa miche umeonekana kuwa njia ya kwanza ya kukabiliana na tatizo hili. Katika kaunti ya Kisumu, mzee mmoja ameanzisha mradi wa kupanda miche ili kuepuka athari za mafuriko. Na kama anavyoarifu Laura Otieno, bunge la Kisumu pia limepitisha mswada ambao utahakikisha kuwa serikali ya kaunti inatenga asilimia mbili ya bajeti ya maendeleo kuangazia masuala ya mabadiliko ya tabianchi