У нас вы можете посмотреть бесплатно Kufikiri Katika Qur`an | E8 или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Fikra ni silaha yenye nguvu ambayo Mwenyezi Mungu amempa mwanadamu, lakini je, tunaitumia ipasavyo? Qur’ani inatuhimiza kutafakari kwa kina kuhusu uumbaji wa mbingu na ardhi, maana ya maisha, na hatima yetu. Je, tunatumia akili zetu kuchunguza dalili za Allah au tunapita duniani bila kuzingatia ishara Zake? Tafakari inatuongoza kuelewa haki na batili, kutofautisha mwanga na giza, na kufikia yakini katika imani. Katika sura nyingi, Qur’ani inawaonya wale wasiotumia akili zao na kuhimiza tafakuri kama njia ya kuelekea kwenye ukweli. Je, tunajipa muda wa kutafakari kwa dhati juu ya maisha yetu na nafasi yetu katika mpango wa Allah #SayyidAidarus