У нас вы можете посмотреть бесплатно LUHAGA MPINA APIGWA CHINI Na CCM KUGOMBEA UBUNGE KISESA MAAGIZO YA RAIS SAMIA YAMETEKELEZWA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Aliekua Mbunge wa Kisesa kwa tikeki ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) LUHAGA MPINA ametolewa kwenye mchujo huko mkoani Simiyu wa kugombea Ubunge Kwenye Jimbo la Kisesa Ikumbukwe Rais Samia Alitoa Maagizo kwa Wajumbe Kuhakikisha baazi ya Wagombea wanaokwenda Kinyume wasichaguliwe Tena Kugombea. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ambae pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha mapinduzi Dr Samia Suluhu Hassan aliwaagiza wajumbe kwenye majimbo Akiwa Dodoma Kwenye Uzinduzi wa Ilani ya Chama Cha mapinduzi ya mwaka 2025 hadi 2030 kuto kuwapitisha wagombea ambao watakuja Kukigwajimanise chama na kutoa Maagizo Magwajimaa Yote Nje ya ccm sasa mambo yametimia @For more updates visit our page #UHURUONLINEMEDIA