У нас вы можете посмотреть бесплатно Kifo cha Rais Moi, utaratibu wa kutangaza kifo cha rais au rais mstaafu или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Jioni ya leo, Kenya imeendelea kuomboleza kifo cha rais wa pili wa Jamhuri ya Kenya Daniel Toritich Arap Moi aliyeaga dunia akiwa na umri wa miaka 96. Tangazo la kufariki kwa rais mstaafu lilitolewa kwa njia ya kipekee na Rais Uhuru Kenyatta akiwa ziarani kuelekea marekani. Moi aliaga dunia mwendo wa saa kumi na moja unusu asubuhi, na taarifa rasmi ikatoka ikulu majira ya saa kumi na mbili unusu asubuhi, kulitangazia taifa tanzia hiyo. Shughuli chungu nzima zikifuatia katika hifadhi ya maiti ya lee, ambapo mwili wa mwendazake umehifadhiwa, ukisubiri mazishi ya kitaifa na taadhima ya kijeshi, kama alivyoagiza rais kenyatta.