У нас вы можете посмотреть бесплатно Tiba mpya ya mifupa na viungo isiyotumia dawa или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Ugonjwa wa mifupa na viungo unawahangaisha watu wengi humu nchini ila madaktari wa ugonjwa huo wasiotumia dawa ni wachache mno. Nchini kenya kuna madaktari saba pekee lakini sasa huenda idadi hiyo ikaongezeka kwani chuo kikuu cha Eldoret kwa ushikiano na chuo kikuu cha Life university kutoka Marekani vimeanzisha rasmi mafunzo ya taaluma hiyo chuoni humo