У нас вы можете посмотреть бесплатно Baraza la maaskofu wa kanisa katoliki kenya limeikosoa vikali serikali или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Baraza la maaskofu wa kanisa katoliki kenya limeikosoa vikali serikali kwa kile limetaja ni utamaduni wa uongo, ahadi zisizotimizwa na vipaumbele vilivyopangwa vibaya. Maaskofu hao pia walikosoa migogoro ya kisiasa ya ndani, ufisadi miongoni mwa viongozi na visa vya watu kutoweka na mauaji ya kiholela. Katika taarifa aliyoisoma mwenyekiti Maurice Muhatia, maaskofu wa kanisa katoliki walikosoa jinsi serikali inavyoendesha ushirikishaji wa umma kabla ya kupitisha miswada bungeni.