У нас вы можете посмотреть бесплатно Biblia na Ukweli | Jmdklm, Kanisa la Mungu или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Biblia, Ambayo Mungu Aliwavuvia Manabii Waandike Kupitia Roho Mtakatifu Manabii walioandika Biblia waliishi katika nyakati tofauti na walikuwa na kazi mbalimbali na haiba mbalimbali, ila wakiongozwa na Roho Mtakatifu wa Mungu, waliacha unabii wenye kupatana, ukituelimisha kuhusu “kwa nini wanadamu walikuja katika dunia hii na tunapoelekea.” Waumini wa Kanisa la Mungu Wanaamini Kwamba Biblia Ni Ukweli Na Neno la Mungu Kwa kuwa Biblia ni ukweli, lazima tuamini katika unabii kuhusu Kristo Ahnsahnghong na Mungu Mama. Kitabu cha Isaya kilitabiri kuhusu mateso ya Yesu miaka 700 kabla ya ujio Wake, na kitabu cha Ayubu kiliandika mzunguko wa maji na ukweli kwamba dunia imening'inia angani miaka 3,500 iliyopita, ukweli ambao sayansi iligundua tu katika karne ya 17. 2 Timotheo 3:16–17 Kila Andiko limevuviwa na Mungu na lafaa kwa mafundisho, kwa kuwaonya watu makosa yao, kwa kuwaongoza na kwa kuwafundisha katika haki, ili mtu wa Mungu awe amekamilishwa, apate kutenda kila kazi njema. Ayubu 26:7 Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu; naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu. [ Hakimiliki za video hii zimehifadhiwa na Jamii ya Misheni ya Dunia ya Kanisa la Mungu. Hairuhusiwi kunakili na kusambaza bila kibali. ] 〖World Mission Society Church of God〗https://watv.org 〖WATV Media Cast〗 https://watvmedia.org/sw 〖Church of God Introduction〗 https://introwmscog.com