У нас вы можете посмотреть бесплатно Mahindi ya Bei nafuu bado hayajatibu kilio cha chakula Nyatwali или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Baada ya serikali kuitikia kilio cha wananchi wa kata ya Nyatwali Halmashauri ya Mji wa Bunda kupeleka huduma ya mahindi ya bei nafuu, inaelezwa kuwa haijasaidia kutibu kilio hicho kama ilivyotarajiwa. Ikiwa ni takribani wiki mbili tangu Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula NFRA apeleke tani 30 za mahindi katika kata hiyo, ni tani 2.5 tu ndizo zilizouzwa hadi sasa huku sababu mojawapo ikitajwa ni kutokana na ukata wa kifedha wananchi wanaokumbana nao kwa sasa.