У нас вы можете посмотреть бесплатно Waziri Bashe aeleza jinsi vijana wa Tanzania wanaenda kuwa matajiri kupitia Block Farming или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema kuwa hivi karibuni vijana wataanza kunufaika na Kilimo cha ushirika (Block Farming) ambapo watapewa huduma zote zinazohitajika ili kufanya kilimo chenye tija, ikiwemo fursa za mikopo, mashamba yenye miundombinu yote ikiwemo umwagiliaji pamoja na elimu ya kufanya kilimo bora. Waziri Bashe ameyasema hayo alip[ofanya mahojiano maalumu na Mwananchi kwenye ofisi za Wizara hiyo hapa jijini Dodoma.