У нас вы можете посмотреть бесплатно Wazazi wa Kata ya Tuwe Macho Waishukuru Serikali kwa Kuwajengea Shule ya Sekondari ya Milion 500 или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wazazi wa watoto wa kata ya Tuwe Macho iliyopo halmashauri ya wilaya ya Tunduru wameishukuru serikali kwa kuwajengea shule ya sekondari katika kata hiyo ambayo imegharimu zaidi ya shilingi milioni 500 ambapo wanafunzi walikuwa wanatembea umbali wa zaidi ya kilometa 20 kufuata elimu hali iliyosababisha vitendo vya utoro pamoja na ubakaji wakiwa njiani