У нас вы можете посмотреть бесплатно Mpina awaka Serikali kuagiza sukari zaidi ya inayohitajika, asema inaenda kuua viwanda, soko la miwa или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amesema kuwa Serikali isipolinda viwanda vya ndani itashindwa kukkusanya kodi akisema kkuwa Serikaii imeagiza sukari tani 410 wakati kiasi cha sukari kinachohitajika ni tani 120 pekee. Mpina ameyasema hayo leo Jumanne, Juni 4, 2024 wakati wa mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Fedha kwa mwaka wa fedha 2024/25 ambapo ameeleza kuwa kwa kuagiza kiasi hicho cha sukari Serikali itaua viwanda vya sukari nchini na kusababisha wakulima wa miwa kukosa soko.