У нас вы можете посмотреть бесплатно 'Niliteuliwa nikiwa mwaka wa pili chuoni sitasahau maishani' или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Katika mfululizo mpya wa makala kuhusu vijana walio chini ya miaka 30 tunaangazia vijana waliofanya vizuri na wanaoendelea kufanya vizuri katika teknolojia, siasa na kijamii kwa nchi za Afrika Mashariki na leo tunae Bi Zainab Abdallah ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo. Akiwa na umri wa miaka 23 ndipo aliaminiwa kufanya kazi kubwa ya kumuwakilisha rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama Mkuu wa Wilaya. Licha ya hilo hakusita kukumbatia kipaji alicho nacho cha utunzi na ughani wa mashairi ambacho kimempa umaarufu mkubwa hasa siku za hivi karibuni. #bbcswahili #tanzania #wanwake #talanta #uongozi