У нас вы можете посмотреть бесплатно UTALIA! WATAKA KUMUUA MTOTO KISA ULEMAVU MAMA,MTOTO NA MJUKUU WAKIMBIA KUNUSURU UHAI WAKE или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wakati baadhi ya mila na desturi zikionekana kupitwa na wakati kutokana na madhara yake ndani ya jamii bado wapo watu miongoni mwetu wanaziamini na kuziendeleza ikiwemo dhana ya kuwa mtoto mwenye ulemavu ni mkosi! Katika hali isiyo ya kawaida familia ya watu watatu akiwemo mama, mtoto na mjukuu, wakazi wa Kata ya Mkuyuni wilayani Morogoro wamelazimika kukimbia ndani ya kata hiyo kwa madai ya kuokoa maisha ya mtoto wao aliyezaliwa akiwa na changamoto ya ulemavu, miaka minne iliyopita. Akizungumza na families media, bibi wa mjukuu huyo amesema wapo ndugu waliowakataa ndani ya familia lakini wengine wakaenda mbali zaidi na kutishia usalama wa mjukuu wake huyo mwenye ulemavu wa viungo na ndipo wakaamua kukimbia. Yeyote atakayeguswa kusaidia familia hiyo anaweza kuwasiliana nao moja kwa moja kupitia namba 0780398623 #extraordinarystories #news #love #funny #africa #harmonize #habesha #duet #zuchu #ayotv #matukioonlinetv #habari #humphreypolepole #bbcnews #tundulissu #heche #polepole #yangasc #simbasc