У нас вы можете посмотреть бесплатно Tundu Lissu Amjibu Wassira Suala la Mdahalo, "Nikazungumze Naye Kipi?" или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Ndugu Tundu Lissu anazungumza na Watanzania kupitia vyombo vya habari kutoa mwelekeo kwa wananchama wa chama hicho namna wanaenda kufanya siasa zao. Utakumbuka Mwenyekiti huyu mpya wa CHADEMA taifa alipatikana baada ya uchaguzi uliyokonga nyoyo za Watanzania na wapenzi wa chama hicho na pia ni uchaguzi ambao ulitengeneza makundi ndani ya chama ambayo mwenyeikiti huyu mpya ana kazi ya kuyavunja na kujenga chama kimoja. Katika hotuba yake ya leo anatarajiwa kuzungumza mambo mbalimbali lakini kubwa likiwa msimamo wao waliyonao kwa sasa ambao uliwekwa na kamati kuu yao wa 'No Reforms No Election (kwa tafsiri isiyo sahihi 'Kama hakuna mabadiliko hakuna uchaguzi') The Chanzo inakuletea mkutano huu ambao utarushwa mubashara kwenye chaneli yetu hii ya YouTube. Unaweza kutufuatilia kupitia; TWITTER: / thechanzo INSTAGRAM: / thechanzo FACEBOOK: / thechanzo TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_... Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105 The Chanzo 2025 © All Rights Reserved.