У нас вы можете посмотреть бесплатно HUKUMU YA LULU INATOLEWA LEO!!! MTAZAME ALIVYOTINGA MAHAKAMANI! или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Subscribe / uwazi1 Diva anayejua kuwakuna mashabiki vilivyo kutokana na kipaji chake cha Kuigiza, Elizabeth Michael 'Lulu', amewasili leo Novemba 11, 2017 katika mahakama ya Kisutu Jijini Dar, kwa ajili ya kusikiliza hukumu ya kesi inayomkabili ya kumuua bila kukusudia aliyekuwa Mfalme wa Bongo Muvi, Steven Kanumba. Kama iliyo kawaida yake Lulu huwasili mahakamani hapo akiwa ameambatana na watu wake wa karibu akiwemo Mama yake Mzazi, mfanyabiashara Muna na watu wengine. FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .