У нас вы можете посмотреть бесплатно WATUMISHI WA OFISI YA RC RUVUMA WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA UNUNUZI WA UMMA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma wamepatiwa mafunzo ya mfumo wa manunuzi ya umma (NeST) yaliyotolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) Kanda ya Kusini. Mafunzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Songea Club mjini Songea yamelenga kuwajengea uwezo watumishi katika matumizi ya mfumo huo na kuhakikisha manunuzi yanafanyika kwa uwazi, ufanisi na kwa kuzingatia sheria na kanuni zilizowekwa ili kulinda rasilimali za taifa.