У нас вы можете посмотреть бесплатно Miaka 40 ya HIV: Wagonjwa wahangaika kwa kukosa dawa za ARVs Lamu или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Hapa nchini Kenya, Dawa za kupunguza makali ya ukimwi ni bure kwa wale wanaoishi na virusi vya HIV. Ila katika kaunti ya Lamu, wagonjwa wanalazimika kugharamika pakubwa. Kaunti hiyo inakabiliwa na changamoto ya kuwasilisha dawa hizo kwa sababu ya kukosa fedha. Hali hii ikileta wasiwasi miongoni mwa wale wanaohitaji dawa hizo, baadhi yao wakikosa kuzitumia kama anavyotuarifu Lulu Hassan